Karibu Musoma Information Center kwa huduma zifuatazo:- 1) Kwa kutengenezewa design mbalimbali kama za Business card, Vipeperushi, mabango mbalimbali, kadi za Harusi za kisasa zaidi, kadi za mialiko mbalimbali, Vitambulisho vya wanafunzi wa sekondari na katika kampuni mbalimbali ( ID cards) na kadi nyinginezo zenye design ya kuvutia. 2) Kutengenezewa mabango ( Posters) mbalimbali zinazohusu biashara ya mhusika au bidhaa mbalimbali. 3) Kutengenezewa nembo ( LOGO) za kuhusiana kampuni au biashara yako. 4) Tunatengeneza tovuti ( Websites ) zenye kiwango ambacho huwezi amini kama zinatengenezwa musoma, kwa bei nafuu ambayo huwezi ipata kwingine isipo kuwa kwetu. 5) Mwisho tunatoa ushauri na elimu kuhusiana na maswala ya computer.5) Sisi ni watengenezaji wa blog zinazokaa mfumo wa website. kama hii unayoiona.
Home » » MAZISHI YA SAJUKI YALIVYOKUWA

MAZISHI YA SAJUKI YALIVYOKUWA

HIVI NDIVYO MAZISHI YA MPENDWA WETU SAJUKI YALIVYOKUWA - RAISI AUDHURIA

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akiweka mchanga kwenye kaburi la marehemu Sajuki wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu-Dar es Salaam adhuhuri ya leo.
Mwili wa marehemu Sajuki ukipelekwa makaburini.



King Kikii Mwana Fa na Profesa J.

Msanii Z Anto akiswali juu ya kaburi la Marehemu Sajuki.

Hapa ndipo alipozikwa Marehemu Sajuki.
sajuki
Like us on Facebook
Follow us on Twitter
Recommend us on Google Plus
Subscribe me on RSS