Karibu Musoma Information Center kwa huduma zifuatazo:- 1) Kwa kutengenezewa design mbalimbali kama za Business card, Vipeperushi, mabango mbalimbali, kadi za Harusi za kisasa zaidi, kadi za mialiko mbalimbali, Vitambulisho vya wanafunzi wa sekondari na katika kampuni mbalimbali ( ID cards) na kadi nyinginezo zenye design ya kuvutia. 2) Kutengenezewa mabango ( Posters) mbalimbali zinazohusu biashara ya mhusika au bidhaa mbalimbali. 3) Kutengenezewa nembo ( LOGO) za kuhusiana kampuni au biashara yako. 4) Tunatengeneza tovuti ( Websites ) zenye kiwango ambacho huwezi amini kama zinatengenezwa musoma, kwa bei nafuu ambayo huwezi ipata kwingine isipo kuwa kwetu. 5) Mwisho tunatoa ushauri na elimu kuhusiana na maswala ya computer.5) Sisi ni watengenezaji wa blog zinazokaa mfumo wa website. kama hii unayoiona.

About Us

 UTANGULIZI
Asasi hii ilianzishwa hapa Musoma kuanzia mwezi Februari mwaka 2011 ikiwa na wanachama waasisi kumi (10). Wazo la kuanzisha Asasi hii lilitokana na ukweli kwamba moja ya vikwazo vinavyosababisha kudorora kwa maendeleo katika jamii za nchi zinazoendelea ni kukosekana kwa taarifa sahihi na za wakati. Asilimia kubwa ya jamii ya Watanzania wanaishi nje ya miji ambako kuna uhaba wa vyombo vya kupashana habari kama vile magazeti, radio, luninga, internet n.k. Kukosekana kwa taarifa za mambo yanayofanyika ndani ya jamii na nje ya jamii waliyomo kunawanyima fursa ya kushiriki katika kukabiliana na changamoto mbalimbali za kijamii, kiuchumi na kiutamaduni ili kwenda na mabadiliko katika dunia ya leo ya sayansi, tekinolojia na utandawazi.
 DIRA
Kuwa na jamii yenye uelewa mpana wa habari sahihi za masuala ya kijamii, kiuchumi na kiutamaduni na kutambua mabadiliko yanayotokea kati yake na jamii zingine ili kukabiliana na changamoto za kimaendeleo.
DHAMIRA
Asasi inadhamiria kushiriki na kushirikisha ngazi zote za kijamii hasa makundi yaliyoko pembezoni katika ukusanyaji, uandikaji, usambazaji na upashanaji habari.  
MADHUMUNI
 Kuhabarisha jamii jinsi ya kukabiliana na changamoto za athari na madhara umasikini,  
  Rushwa na VVU/UKIMWI.
 Kushirikisha jamii katika ukusanyaji wa taarifa muhimu, kuziandika na kuzisambaza ili
 Kuimarisha mawasiliano ya habari. 
Kuimarisha mitandao ya mawasiliano ndani ya jamii ili jamii iweze kupata taarifa sahihi
 Zinazoendana na wakati.
 Kushirikisha jamii katika kuibua changamoto na kukuza ushawishi na utetezi wa sera 
 Mbalimbali kwa njia ya midaharo ili ziwe na tija kwa jamii.
  Kufanya tafiti mbalimbali za masuala ya kijamii, kiuchumi na kiutamaduni ili kuzipatia 
  Ufumbuzi.
Kuyajengea uwezo makundi mbalimbali ya kijamii Kwa njia ya vipeperushi, magazeti,
 Radio, TV na mafunzo ili kupata ufahamu wa kujiletea mabadiliko.
Kukuza uelewa wa jamii juu ya kutambua na kutetea haki zao za msingi zinazokiuka  Misingi ya demokrasia, usawa, utawala bora, uwazi na uwajibikaji.



PRELIMINARY
This Organization was established in Musoma in February 2011 by ten (10) founder members. The idea of establishing this organization was due to the fact that one of the constraints of community development in most developing countries is the lack of right and updated information. Most communities of Tanzania live in rural areas where source of information is inaccessible such as news papers, radio, TV, internet etc. Lack of information regarding what is done within and out of the community it denies them the opportunity to participate in coping with social, economic and cultural challenges to cope with changes in the today’s world of science, technology and globalization.  
 VISION
To have a community with wide clear knowledge and understanding of right information regarding social, economic and cultural issues in order to realize community changes and tackle with developmental challenges.
MISSION
The mission of JIN is to participate and involve the community at all levels particularly the marginalized groups in collecting, writing, dissemination and sharing of information.
OBJECTIVES
To provide information enabling the community to cope with challenges and effects of poverty, corruption and HIV/AIDS.
To involve the community in collecting important information, writing them and disseminating them for the purpose of strengthening information communication.
To strengthen communication networks within communities enabling communities to access right and updated information.
To involve communities in identifying and promoting advocacy on various policies that will benefit communities through debates.
To conduct various researches to identify social, economic and cultural issues in order to find solutions.
To empower community members at large with knowledge through brochures, news, radio, TV and trainings in order to acquire knowledge that will lead to positive self-changes.
To raise community awareness to realize and advocate for their basic rights built on democracy, equality, good governance, transparence and accountability.
Like us on Facebook
Follow us on Twitter
Recommend us on Google Plus
Subscribe me on RSS