Karibu Musoma Information Center kwa huduma zifuatazo:- 1) Kwa kutengenezewa design mbalimbali kama za Business card, Vipeperushi, mabango mbalimbali, kadi za Harusi za kisasa zaidi, kadi za mialiko mbalimbali, Vitambulisho vya wanafunzi wa sekondari na katika kampuni mbalimbali ( ID cards) na kadi nyinginezo zenye design ya kuvutia. 2) Kutengenezewa mabango ( Posters) mbalimbali zinazohusu biashara ya mhusika au bidhaa mbalimbali. 3) Kutengenezewa nembo ( LOGO) za kuhusiana kampuni au biashara yako. 4) Tunatengeneza tovuti ( Websites ) zenye kiwango ambacho huwezi amini kama zinatengenezwa musoma, kwa bei nafuu ambayo huwezi ipata kwingine isipo kuwa kwetu. 5) Mwisho tunatoa ushauri na elimu kuhusiana na maswala ya computer.5) Sisi ni watengenezaji wa blog zinazokaa mfumo wa website. kama hii unayoiona.

UKATILI WA AINA HUU LAZIMA TUUPINGE KWA NGUVU ZOTE

Watanzania tunakila sababu ya kuupinga Ukatili wa aina huu kwa nguvu zote

VIJANA WA SHULE ZA SEKONDARI ZAIDI YA 200 KUPEWA ELIMU MBADALA MKOANI MARA KUPITIA JAMII INFORMATION NETWORK (JIN)


Like us on Facebook
Follow us on Twitter
Recommend us on Google Plus
Subscribe me on RSS